kuhudumia jamii ili kuleta maendeleo wano yataka wanajimbo wa Matemwe. Ofisi kuu ipo Pwani mchangani ambapo tunahudumia shehia mbali mbali.
Mabadiliko Mapya
BURUDA DEVELOPMENT FOUNDATION imeongeza Habari.
Hivi karibuni mabanda yano uzwa vitu vya utaali yaliteketea na badhi ya jamii ilisemekana kua walihusika. Hata hivyo mpaka sasa suluhu ya kuwepo vibanda hivo kisheria yatafutwa na asasi husika za shehia na serikali kuu
26 Mei, 2011
BURUDA DEVELOPMENT FOUNDATION imeumba ukurasa wa Historia.
BURUDA DEVELOPMENT FOUNDATION imeanzishwa mwaka 2001 na ilipata usajili wake 2001 mwezi wa marchi tarehe 14. Ilianza na wanachama 25 na sasa(2011) inawanachama 69. Inahudumia jamii kwa kusogeza umeme katika kijiji cha pwani mchangani, ukarabati wa kitoa cha afya, kujenga vyumba viwili vya madarasa sckuli, imejenga skuli... Soma zaidi
26 Mei, 2011
BURUDA DEVELOPMENT FOUNDATION imejiunga na Envaya.
26 Mei, 2011
Sekta
Sehemu