Fungua
Africa Upendo Group

Africa Upendo Group

Shighatini,Mwanga,Kilimanjaro, Tanzania

large.jpg

Mtaalamu wa samaki Ndugu Kissai akitoa maelezo maalum kwa Consoltant na Mkurugenzi wa Open Mind ambaye alitembelea Bwawa la ndugu Kibona kwa ushauri wa maswala mbalimbali na yeye akawa miongoni mwa mtu aliyejionea fahari ya mtanzania kwa kutumia nyezo rahisi katika kujipatia lishe na kipato.

15 Juni, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.