Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Mifugo ni mojawapo wa mihimili mikubwa hapa kwetu Tanzania kama itatumiwa vizuri kwa chakula na biashara.Ndama huyu amezaliwa muda sio mrefu katika mikulima huyu wa maeneo ya Tegeta Dar es salaam Bwana KIbona.

15 Kamena, 2011
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (1)

Je ungependa kujifunza jinsi ya kupata samaki wazuri wasio na sumu pia rahisi na kwa gharama kidogo sana kuwafuga?basi usisite kutuuliza maswali au kututembelea kwa kuangalia mawasiliano yetu na pia tunashughulika na ufugaji wa aina mbalimbali kama kuku wa kienyeji kufugwa katika maeneo madogo lakini wengi na wazuri na pia wanaoweza kufikia hata kilo nane kwa muda mfupi?tuulize
15 Kamena, 2011

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.