Hii ndio mizinga ya asili ambayo tumekuwa tukiitumia katika kufuga nyuki na wenyeji wengi wa wilaya ya Mwanga wanayo mizinga mingi sana ambayo inafanana na na hii na imekuwa ni kama jadi.Hivi sasa tumehamia kwenye mizinga ya biashara kwa ajili ya maendeleo
3 Septemba, 2014