Envaya

Mkurugenzi wa Asasi ya vijana VIYOSO mkoani Morogoro Bw. Freddy Ng'atigwa akifungua semina ya ujasiliamali kwa vijana wa manispaa ya morogoro semina iliyoandaliwa kwa ushirikiana wa asasi ya viyoso pamoja na YES IDO kutoka marekani.

3 Mei, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.