Envaya

/AUG/post/7967: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
picha hiyo hapo juu ndivyo ambavyo tunategemea kufungua kituo chetu ambacho kinajulikana kama ICT4TD(Tanzanian Development)Learning Cetre. – Unavyoona hapo hiyo ni Computer Lab na screen zinakuwa kumi kumi lakini computer inakuwa moja tu kwa kila kumi.Pia unaweza kuwa na yenye uwezo wa tano au nane.Tunaziita Userful Multiplier.Huwa zinafaa sana shuleni n.k na ni rahisi kutumia pia ni cost effective kwani zina uwezo wa kupunguza matumizi kwa 80%.unakuwa na station zako kumi kumi na katika...(Not translated)Hindura
tunategemea kufungua kituo cha habari kwa vijana pale katika barabara ya makuburi EPZA opposite na kanisa la kilutheri Mabibo-kinondoni.Kituo hicho kitakuwa na huduma mbalimbali za kupata information kutoka kila mahali kama wizara,mashirika mbalimbali na taasisi pia kutakuwa na kozi mbalimbali zinaendeshwa pale kama za kiingereza,Computer,ujasiriamali n.kni kituo pekee sana hapa Tanzania na Africa kwa ujumla.(Not translated)Hindura
Tumeshafungua kituo chetu na tarehe 16/0711 tutaanza rasmi madarasa.Hivi sasa watu wanajiandikisha(Not translated)Hindura
AUG Principle Objective. – The AUG key objective is to create a society that is free from various social problems that – hinders social economic progress. It is therefore our plan to build a stronger future that lies – on efficient utilization of knowledge to succeed in whatever developmental action that – should be taken. – AUG is an organization of Action and do not believe that there are some members in the – community who do not like to change towards...(Not translated)Hindura