Envaya

/AUG/post/7967: English

BaseEnglish
picha hiyo hapo juu ndivyo ambavyo tunategemea kufungua kituo chetu ambacho kinajulikana kama ICT4TD(Tanzanian Development)Learning Cetre. – Unavyoona hapo hiyo ni Computer Lab na screen zinakuwa kumi kumi lakini computer inakuwa moja tu kwa kila kumi.Pia unaweza kuwa na yenye uwezo wa tano au nane.Tunaziita Userful Multiplier.Huwa zinafaa sana shuleni n.k na ni rahisi kutumia pia ni cost effective kwani zina uwezo wa kupunguza matumizi kwa 80%.unakuwa na station zako kumi kumi na katika...The above picture is that we expect to open our facility has become known as ICT4TD (Tanzanian Development) Learning Cetre. – ,, As you can see there is a Computer Lab and the screen becomes ten but it is only one computer for every kumi.Pia you can have a capacity of five or nane.Tunaziita Userful Multiplier.Huwa appropriate school etc. and is very easy to use also is cost Effective because they are capable of reducing consumption by 80%. you have a station of your ten and in every USB...Edit
tunategemea kufungua kituo cha habari kwa vijana pale katika barabara ya makuburi EPZA opposite na kanisa la kilutheri Mabibo-kinondoni.Kituo hicho kitakuwa na huduma mbalimbali za kupata information kutoka kila mahali kama wizara,mashirika mbalimbali na taasisi pia kutakuwa na kozi mbalimbali zinaendeshwa pale kama za kiingereza,Computer,ujasiriamali n.kni kituo pekee sana hapa Tanzania na Africa kwa ujumla.we expect to open a center of information for young people there on the road to makuburi EPZA contrary to church Lutheran Mabibo-kinondoni.Kituo it will have a range of services to get information from everywhere as ministries, organizations and institutions also will have various courses run there as to English, Computer, entrepreneurship n.kni very special facility in Tanzania and Africa in general.Edit
Tumeshafungua kituo chetu na tarehe 16/0711 tutaanza rasmi madarasa.Hivi sasa watu wanajiandikishaTumeshafungua our station and we will begin officially on 16/0711 madarasa.Hivi now people are registeredEdit
AUG Principle Objective. – The AUG key objective is to create a society that is free from various social problems that – hinders social economic progress. It is therefore our plan to build a stronger future that lies – on efficient utilization of knowledge to succeed in whatever developmental action that – should be taken. – AUG is an organization of Action and do not believe that there are some members in the – community who do not like to change towards...(Not translated)Edit