Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/anppcantzchapter/post/24004
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
kuwekeza kwenye haki za watoto ni msimgi wa taifa lolote ulimwenguni.........wazazi na serikali wanawajibu wa kuzitambua, kuzitunza haki za watoto na kuhakikisha vitendo vyote vinavyo kwenda kinyume na maslahi na haki za watoto vinakomeshwa na kutokomezwa
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Maratibu wa Mradi ndugu Leodgard Lazarus Otaru akisisitizia jambo wakati wa mafunzo ya uwezeshaji jamii katika kuzitambua haki mbalimbali za watoto katika kijiji cha kiluvya 'A'
(Bila tafsiri)
Hariri