Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/fmzeituni/post/59405
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
(image) – Siku ya mjadala wa utoaji maoni ya rasimu ya katiba mpya katika hoteli ya DABUYA tarehe 3-4/8/2013. Mjadala huu uliandaliwa kwa ushirikiano wa Mzeituni Foundation na CHAWATA Mkoa wa Mwanza,na kuwaleta pamoja wawakilishi wa walemavu kutoka makundi mbalimbali katika wilaya za Magu,Ukerewe,Karagwe,Ilemela na Nyamagana. Mjadala ulifunguliwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Walemavu Tanzania Mkoa wa Mwanza.Katika ufunguzi wake mwenyekiti aliwahimiza na...
(Bila tafsiri)
Hariri