About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/tuwodea/post/118386
: English
Base
English
Ofisini kwetu tulipokea kesi ya binti mwenye umri wa miaka 20 aliyepasuliwa tumbo wakati wa kujifungua., wakamshonea uchafu wote tumboni hadi kondo la nyuma. Jambo lililopelekea kizazi kuoza kikatolewa wakati mtoto aliyezaliwa alifariki. Je huu si ukatili wa kijinsia?
Our office we received a case of a daughter 20 years old, who pierced the womb during childbirth., And sewing all the dirt womb to the placenta. Something lililopelekea generation kikatolewa decay when the baby was born she died. Is this not violence?
Edit
Shughuri yetu kubwa ni kutetea haki za wanawake na watoto, hususani usuluhishi wa migogolo. Changamoto kubwa tuliyo nayo ni kwamba kipindi cha kuanzia mwishoni mwa mwaka 2011 hadi sasa, migogoro ya ndoa imekuwa mingi mno. Familia hazina amani, watoto wanahathirika kisaikolojia. Je wenzangu ;mnafikiri tatizo hasa ni nini?
Our biggest Shughuri are defending the rights of women and children, especially the resolution of migogolo. The biggest challenge we have is that the period from late 2011 to date, marital conflict has been too many. Families do not have peace, children hathirika psychological. Does my, do you think the problem exactly is?
Edit