habari wana envaya ,wapa imeona kwamba katika mapambano dhidi ya ukimwi ,elimu imetolewa ila bado kuna idadi ndogo ya wanaume wanaojitokeza kupata huduma hiii,na hata wale wachache wanaojitokeza na kuonekana wana vvu,imekuwa vigumu kufuata matibabu kikamilifu ikiwemo matumizi sahihi ya arvs,hivyo wapa imeona kuna haja ya kufanya uhamasishaji kwa wanaume kujitokeza kupima vvu kwa hiari na kutoa mafunzo ya matumizi sahihi ya dawa za arvs, pia kuwahamasisha wale ambao wameshapima na kukutwa... | (Not translated) | Hindura |