Asasi ya Wanawake Tunaweza ilianzishwa 05/10/2010 katika mtaa wa PWANI kata ya KUNDUCHI TEGETA wilaya ya KINONDONI,mkoa wa DAR-ES-SALAAM.Ikiwa na wanachama 20.Lengo kuu ilikuwa kuwaunganisha wanawake mbalimbali katika maendeleo na shughuli mbalimbali za kijamii na kitaifa. – Ilisajiliwa rasmi tarehe 21/02/2011 imejishughulisha katika shughuli mbalimbali za kijamii{michezo mbalimbali ya watoto],kisiasa[mijadala ya uelimishaji juu ya... | (Bila tafsiri) | Hariri |