Fungua

/watu/post/14: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh.Jordan Rugimbana aliyezindua semina ya mchakato wa uundajiwa katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Akizungumza na wanasemina iliyoandaliwa na Asasi ya Wanawake Tunaweza. {WATU} Tarehe 07/09/2012.Kunduchi Tegeta Mtaa wa Pwani.(Bila tafsiri)Hariri