Tanzania educational motivation alliance (TEMOA) tuna his high I lush a na uelimishaji na uhamasishaji wa maendeleo ya elimu nchini Tanzania hasa maeneo ya vijijini. – Tunafanyakazi jwa kushirikiana na wadau wote wa maendeleo ya elimu hapa nchini. Shirika letu linajifunza mengi kupitia mijadala hii na kwasasa tumeandaa mradi wa uhamasishaji utakaokwenda kwa jina la KYELA academic champions awards. tunatarajia kuwahamasisha vijana walioko shuleni kufanya vizuri ktk elimu. tunakabiliwa na... | (Not translated) | Edit |