Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
[1]. Kujenga wanawake,watoto,wazee,vijana katika uwezo wa kiuchumi,kielimu na uongozi [2]. kusaidia kuboresha afya za wanawake wajawazito,watoto na jamii kwa ujumla kwa [3].kuboresha hali ya lishe,uzalishaji na usindikaji wa chakula kwa kusaidia na tiba katika kilimo na ufugaji. [4]. kuboresha mazingira na usafi wanapoishi na mazingira ya kufanyia kazi. [5]. Kukuza vipaji vya watoto wa kike wanawake na vijana kwa ujumla kwa kufuatilia semina [6]. Kuhamasisha uendelezaji wa michezo mbalimbali sanaa na utamaduni mashuleni, vyuoni [7]. Kupinga na kukemea aina zote za unyanyasaji wa kijinsia,uonevu na uvunjaji wa haki za [8]. Kusaidia kujenga hali ya amani,upendo na ushirikiano kwa kutumia wataalamu |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe