Envaya
/hakielimu/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Watumishi wa umma watafanya kazi kwa ari endapo tu wameridhika na mazingira ya kazi na maslahi yao na si uamuzi wa mahakama pekee #Migomo
(Bila tafsiri)
Hariri
Kila mwanafunzi ana haki ya kujifunza . Hivyo basi,Serikali na CWT wanapaswa kufikia makubaliano haraka kadri inavyowezekana, #MgomoWalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Kusema serikali haina uwezo wa kuboresha maslahi na mazingira ya kazi ya watumishi wake; haileti unafuu wa maisha kwa watumishi wa umma
(Bila tafsiri)
Hariri
Walimu wafundishe kwa bidii bila kinyongo, kwa kuwa wasipowajibika watakuwa wanawaumiza wanafunzi na jamii kwa ujumla. #MgomoWalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Pressconference: Elimu Bora haiwezi kuletwa na walimu walio hoi #mgomowalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Mgomo huu ushughulikiwe na uishe kabisa. Usiishie kuwaona walimu wamerejea kufundisha,huku wakiwa na kinyongo, italeta madhara zaidi
(Bila tafsiri)
Hariri
HakiElimu inawakumbusha walimu kuwajibika. Wadai haki zao, huku wakitimiza wajibu wao wa kufundisha na kuendeleza elimu yetu #mgomowalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Pressconference: Viongozi wa Serikali wasiwabeze walimu; kwa kufanya hivyo wanawakatisha tamaa #mgomowalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Serikali ijijengee utaratibu wa kuboresha mazingira ya watumishi wake, na si kusubiri kwenda mahakamani kuzuia watumishi kugoma #MgomoWalimu
(Bila tafsiri)
Hariri
Gharama za maisha zinazidi kupanda, na mfumuko wa bei nao unawaumiza watumishi kila siku. Hivyo, Serikali itafute vyanzo mbadala vya mapato
(Bila tafsiri)
Hariri