Fungua

/hakielimu/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
@lilianruga @Udadisi Wanaotaka kiasi kilichopo wabaki wasiotaka waende huko watakapopewa kiasi wanachotaka- JK(Bila tafsiri)Hariri
@RNMsuya Basi ni muhimu kila mmoja kutimiza wajibu wake ! Wananchi na Serikali ili tuweze kusogea toka tulipo(Bila tafsiri)Hariri
Mabilioni ya fedha yamerudishwa nchini kutokana na fedha zetu zilizotumika kisivyo halali kununulia rada, fedha... http://t.co/zXEtp2yp(Bila tafsiri)Hariri
Hili Tulilipigia kelele sana katika kampeni zetu za uwazi na uwajibikaji serikalini ! Kilichobakia wananchi ni... http://t.co/1MR1YaqB(Bila tafsiri)Hariri
UTUMISHI WA UMMA KATIKA SAKATA LINGINE: Walimu waipa serikali siku 14 kutekeleza madai yao kwa asilimia 100... http://t.co/Af8LoY9Q(Bila tafsiri)Hariri
"Good government is not a luxury - it is a vital necessity for development"(Bila tafsiri)Hariri
@lilianruga Yap yap TBC1(Bila tafsiri)Hariri
Muwe na moyo wa huruma na upendo na msaada kwa wagonjwa kama kiapo chenu kinavyowataka - JK(Bila tafsiri)Hariri
Hotuba ya Mkuu wa Nchi TBC kwa wale tulioingoja jana usiku mpaka saa sita haya sasa(Bila tafsiri)Hariri
@MariaSTsehai @Irenei2011 Hiyo kali kwa hiyo tunaangalia edited version hahahaha kaka mkuu atakuwa aliambiwa action , cut , one two three(Bila tafsiri)Hariri