Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/bozasecondary/post/4
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
wanafunzi wanaosoma Boza nawashauri msome kwa bidii kwani elimu mnayoipata itawasaidia maishani mwenu jitahidini katika masomoya ufundi yatawatoa kimaisha mnao waalimu wa ufundi wazuri na mazingira ya shule ni tulivu hakunavishawishi someni kwa bidii .[1994 at Boza sec.school]
(Bila tafsiri)
Hariri
nimevutiwa na shule ada ni ngap
(Bila tafsiri)
Hariri
boza sec endelea kuboresha mazingira ya kusoma kwa kukuza kiwango cha ufaulu ili kuvutia zaidi wanafunzi kujiunga hapo. nawatakia mafanikio
(Bila tafsiri)
Hariri
Pia kwa watu wa boza walioko kwenye mtandao wa kijamii wa facebook tuna group yetu inaitwa boza sec school mates unaweza jiunga kupata mambo mbalimbali
(Bila tafsiri)
Hariri
shule iko katika mandhari nzuri na yakuvutia kwani ipo karibu na bahari ya hindi. ina eneo kubwa na ina mazingira mazuri ya kujifunzia. CCM, WAzazi wajitahid kuboresha baadhi ya miundombinu na nafaham wako katika harakati hizo. karibuni pangani.
(Bila tafsiri)
Hariri
Nahitaji kujiuna shule yenu
(Bila tafsiri)
Hariri
Napanga kumleta mwanangu asome hapo mm nipo dar es salaam.Ada kwa muhura ni shilingi ngapi ntafulahi ukinisaidi kwa hiro.au ni sms 0783213411.
(Bila tafsiri)
Hariri
Ya inawezekana fika shuleni fomu znapatikana
(Bila tafsiri)
Hariri
Karibu. Shule inamilikiwa na CCM- Jumuia ya wazazi. Iko Pangani mkoani – Tanga.
(Bila tafsiri)
Hariri
Ada ni kiasi gani kwa mwaka?
(Bila tafsiri)
Hariri
Natarajia kumleta mwanangu kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka huu je itawezekana?
(Bila tafsiri)
Hariri
UMOJA WA WAZAZI TANZANIA – SHULE YA SEKONDARI BOZA – S.L.P 87 SIMU 0272630065 /0713-935 335/ 078 539 141 – Email:bozasec@yahoo.com.PANGANI ...
(Bila tafsiri)
Hariri