Envaya

/hakielimu/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
@RNMsuya Hilo ni neno la busara kwa kweli wataumia wanafunzi lakini kama wameshindwa kufikia muafaka unadhani suluhisho lipi ni bora?#mawazo(Not translated)Hindura
@justpendo Mimi na wewe twajua fika hawawezi kukubaliana na demand zao watakwama hapo kama walivyokwama kwa miaka mingi, tutafakari zaidi(Not translated)Hindura
Ikiwa wengi watapiga kura ya ndiyo basi walimu kuanza mgomo Jumatatu ! Wadau mnalizungumziaje hili ( Tanzania Daima 27 Julai 2012 pg 5)(Not translated)Hindura
Migogoro ya mara kwa mara kati ya Serikali na Walimu inachangia kuzorota kwa elimu ! Walimu wanapogoma wanafunzi... http://t.co/g7EXPL6W(Not translated)Hindura
@godnyam Wazo lako linaweza likawa ni moja ya suluhisho ya migogoro inayoendelea katika sekta mbalimbali za umma nchini "Mikataba mifupi"(Not translated)Hindura
@RNMsuya hauwezi kuleta suluhisho ndio maana tunakusanya mawazo njia gani nyingine itumike kama wawili hao wameshindwa kufikia muafaka(Not translated)Hindura
@RNMsuya Taarifa ni kwamva zimekutana na zimeshindwa kufikia muafaka ! Kwa hiyo maoni yako Rafiki wa Elimu waendelee kukutana kujadiliana??(Not translated)Hindura
@godnyam Wazo lako linaweza likawa chachu ya kufikiria nje ya box #mikataba ya kudumu, rafiki wetu @RNMsuya umeisikia hili lisilo la kisiasa(Not translated)Hindura
@RNMsuya Hao wameshindwa kutimiza wajibu huo, sasa nini kifanyike na muafaka unaouzungumzia utafikiwa kwa njia gani? labda una njia muafaka(Not translated)Hindura
@godnyam @RNMsuya Unaweza ukawa sahihi katika hilo ,je unadhani suluhu ni ipi katika kutatua migogoro ya mara kwa mara kati ya walimu na GVt(Not translated)Hindura