Fungua

/hakielimu/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
#bajeti elimu Dr Mkenda now presenting: Public funding of education: why should it matter to all of us?(Bila tafsiri)Hariri
#bajetielimu tiujiulize: elimu yetu itaboreshwaje bila fedha za kutosha na usimamizi wa kutosha?(Bila tafsiri)Hariri
#bajetielimu: je, elimu yetu inaupendeleo au la? Nani anafaidi zaidi? Tutaletaje usawa ili kila mtoto apate haki yake ya kupata elimu bora?(Bila tafsiri)Hariri
Tunajua kwamba mwalimu akiongezwa mshahara kuna watu hawapati ten percent ndio maana tunazidi kuwakandamiza watoa elimu nchini #bajetielimu(Bila tafsiri)Hariri
bajeti ya mwaka huu ijibu ni kiasi gani kinaenda katika kuboresha maeneo mahsusi mfano ufundishaji wa hesabu na sayansi(Bila tafsiri)Hariri
Pia bajeti ya elimu mwaka huu iweke wazi na itenge fedha kwa ajili ya kujifunza yani maktaba za jamii kuelimisha jamii(Bila tafsiri)Hariri
Now listening to Dr Mkenda, economist about the economics of financing the education sector(Bila tafsiri)Hariri
@sophyb2010 @Jahhu Kwa hiyo, majengo kwanza au walimu? Kumbuka, walimu ndiyo wanafundisha na siyo majengo.(Bila tafsiri)Hariri
#bajetielimu tunahitaji kuwekeza kiasi gani katika elimu ili kweli itukomboe? Nani amwambie Dr Shukuru Kawambwa ili asikie na atekeleze?(Bila tafsiri)Hariri
#bajetielimu ukichezea walimu, basi unachezea elimu kwa ujumla. Je, unakubaliana na Dr Mkumbo?(Bila tafsiri)Hariri