About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/tssf-org-tz/news
: English
Base
English
YAH: KUFUNGULIWA KWA SHUGHULI ZA TSSF RASMI KATIKA MWAKA 2015. – Uongozi wa Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania (TSSF) unapenda kuwataarifu wateja wake, wananchi, na umma kwa ujumla kwamba, Shughuli za Shirika la TSSF zimefunguliwa kuanzia Januari 27, 2015 Mwaka huu. Hivyo basi, unaweza kutembelea ofisi za Shirika la TSSF zilizopo katika Ploti. Na.164, Barabara ya TANU Mkabala na Ofisi za Mamlaka ya...
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFFICE OF THE DIRECTOR GENERAL – PUBLIC NOTICE – RE: 04th ANNIVERSARY OF THE TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – This is to inform all the members,...
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFISI YA MKURUGENZI MKUU – TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI – YAH: KUFUNGWA KWA MFUKO WA ELIMU YA JUU WA SHIRIKA LA TSSF – Hii ni kuutarifu umma wa wanachama wa Shirika la TSSF, wadau wa Shirika la TSSF, waombaji wote walioomba...
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION OFFICE OF THE DIRECTOR GENERAL – EXTERNAL MEMO No. 2/2017 ...
(Not translated)
Edit
TAASISI YA MSAADA WA KIJAMII TANZANIA – UANACHAMA WA TSSF – Kikao cha Tatu cha Bodi ya Utawala wa TSSF kilichoketi mnamo tarehe 12 Julai 2017 Jijini Dar es Salaam kimefuta Uanachama wa TSSF kwa watu ambao wameshindwa kutekeleza wajibu wao wa Kikatiba wa Mwanachama wa TSSF kwa Mujibu wa Katiba ya TSSF, 2014. – Majina ya Waliofutiwa Uanachama ni haya yafuatayo; – NA JINA JINSI ANAKOTOKEA – 01 Abdulrahman Ameir Abdallah ME Mtwara – 02 Abdulrahman Husein...
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFISI YA MKURUGENZI MKUU – TANGAZO – YAH: PUNGUZO LA ADA YA FOMU YA MAOMBI YA UFADHILI WA MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA MWAKA 2017/2018 – Hii ni kuutaarifu Umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba, baada ya kupokea maoni mbalimbali ya wadau kuhusu kushindwa kulipa ada ya maombi ya ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwa mwaka 2017/2018 kutoka TSSF, na kwa kuzingatia agizo la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la...
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFISI YA MKURUGENZI MKUU – TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA – YAH: KAULI YA SHIRIKA LA TSSF DHIDI YA TAMKO LA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHIRIKA LA TSSF – Shirika la Tanzania Social Support Foundation linakiri kupokea tamko la Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia lilitolewa na Mhe. Profesa Joyce...
(Not translated)
Edit
SHIRIKA LA KUSAIDIA JAMII TANZANIA – OFISI YA MKURUGENZI MKUU – TANGAZO – Kutakuwepo na Kikao Cha I Cha Chama Cha Ualimu Tanzania – CUT, Kitakachofanyika Siku ya Jumapili ya Februari 08, 2015 Saa 08:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni Katika Ofisi za...
(Not translated)
Edit
(image)
(Not translated)
Edit
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFFICE OF THE DIRECTOR GENERAL – REF: APPOINTMENT OF THE NEW DEPUTY DIRECTOR GENERAL – This is to inform all Members of the Tanzania Social Support Foundation and the general public that, the Governing Board of the Tanzania Social Support Foundation has appointed Mr. Ally...
(Not translated)
Edit