Log in

/hakielimu/news: English

BaseEnglish
Mwaka 2011 mwezi Octoba; HakiElimu ilifanya utafiti kufahamu kama walimu wana hamasa ya kufundisha , soma hapa http://t.co/h7oFHJjZ(Not translated)Edit
Pressconference: Walimu pia wanaangalia na wanafahamu yanayoendelea mfano rushwa, ufisadi, ubadhirifu halafu serikali haina uwezo?????(Not translated)Edit
Pressconference: HakiElimu haiungi mkono watu wanaowatumia watoto au kuwashawishi kuandamana na kuhatarisha usalama wao #mgomowalimu(Not translated)Edit
@arafat_86 Yap mwaka jana tuliliona hili linalotokea sasa ! Soma ripoti hiyo kwa undani ufahamu nini tuligundua(Not translated)Edit
@SAelloc Kampeni mbalimbali kuikumbusha serikali na jamii kutimiza wajibu wao ! Uhamasishaji na Utetezi ndio kazi yetu ! Mdharau Mwiba?(Not translated)Edit
Press conference: Madhara ya mgomo baridi wa walimu yameonekana katika matokeo ya mitihani pia maendeleo ya wanafunzi(Not translated)Edit
Mchana mwema,Tusipoziba ufa tutajenga ukuta ! Mwenye macho haambiwi tazama ! TAFAKARI CHUKUA HATUA #MgomoWalimu(Not translated)Edit
#Press conference: Katika hili #mgomowalimu Serikali inatakiwa kutumia maarifa zaidi kuliko ubabe(Not translated)Edit
Press conference: Pia taifa lielewe wanafunzi nao wanajitambua na wanafahamu haki zao #mgomowalimu(Not translated)Edit
TAMKO LA HAKIELIMU KUHUSU MGOMO WA WALIMU TANZANIA, 02 Agosti 2012 http://t.co/XRQI0TAd(Not translated)Edit
CommentsI recentlhttps://geeksquad-appointment.us/y signed up with Ovation credit repair services and I am already SO happy that I did! They are working hard and have already made a positive impact on my credit report. They helped remove negative items from my credit report that shouldn't have been there. This directly caused an increase in my credit score.They were easy to talk to,VERY friendly and easy to understand, and in a country full of terrible customer service, Ovation credit repair customer...Edit
{date} via {feed}{date} via {feed}Edit
AugustAugustEdit
{month} {day}, {year}{month} {day}, {year}Edit
KinyarwandaKinyarwandaEdit