| Base (Swahili) | English |
|---|---|
|
Shirika la TWSEDHRO lilianzishwa lini? Tanzania Women Social Economic Development and Human rights Organization ni shirika lisilo la Kiserikali, ambalo linafanya au kutoa huduma zake bila kujali rangi, kabila Utaifa,au hali ya mtu pia ni shirika lisilo la kidini au siasa. Shirika hili lilianzishwa mwaka 2001 na lilianza kufanya kazi zake mwaka 2003. Shirika hili pia liliandikishwa November 2004 na kupata hati ya usajili Namba SO. 12861,toka Wizara ya mambo ya ndani ya nchi. Walengwa wakuu wa shirika hili ni nani? Walengwa wakuu wa shirika hili ni, wanawake maskini, wajane, walioachika, walemavu, wanawake wakimbizi, watoto yatima na wale wanaoishi katika manzingira magumu na mazingira magumu zaidi. Dira ya shirika hili ni: Kuwa shirika linalo jali, kutetea na kulinda Haki za Binadamu, hasa haki za wanawake na watoto katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Dhamira ( Mission) Kusaidia, kutetea na kupambana dhidi ya ukiukwaji wa haki za Binadamu, haswa haki za wanawake na watoto na kutoa huduma za kijamii kama vile elimu, afya, misaada ya kiutu, kuimarisha hali ya uchumi kwa wanawake na kuboresha hali ya maisha ya wanachama na jamii kwa ujumla. Eneo la kazi za Shirika: Kwa mjibu wa katiba ya shirika la TWSEDHRO, shirika hili ni shirika la KItaifa lenye uwezo wa kufanya kazi eneo lolote katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo kwa sasa shirika limefanikiwa kufungua taw katika Wilaya yaKasulu. Mpango wa mbeleni ni kufungua ofisi katika wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Shinyanga, Mwanza, Kagera Kilimanjaro na Dar es Salaam, Malengo/ Madhumuni ya TWSEDHRO ni: 1. Kutoa elimu na mafunzo (semina, Warsha) Ushawishi juu ya haki za binadamu ambazo ni haki za wanawake na watoto na utawala bora ili kudumisha haki hizo. 2. Kutoa huduma zaa afya kupitia vituo vya utoaji huduma za fya vilivyo/vitakavyokuwa chini ya shirika hili, pamoja na kutoa elimu juu ya afya ya uzazi na uzazi wa mpango, magonjwa kama vile malaria na VVU/Ukimwi 3. Kutoa huduma za kiutu kw watoto yatima, wajane, wazee na watu wenye ulemavu na wahanga wa majanga mbalimbali. 4. Kutoa elimu na mafunzo ya ufundi staid kama vile elimu ya awali, msingi,na sekondari, kwa ama kujenga shule au kulipia ada wanafunzi . Kutoa mafunzo ya computer, ushonaji, ufumaji n.k. kutoa mikopo midogomidogo na kuwawezesha wanwake kushiriki katika shughuri za kiuchumi, kujenga vituo vya maendeleo ya wanawake na watoto ili punguza umaskini miongoni mwa jamii.
|
TWSEDHRO Corporation was founded when? Tanzania Women Social and Economic Development Human Rights Organization is an NGO, which makes or provide its services regardless of race, ethnic national or state organization is also a non-religious or political. It was founded in 2001 and began its work in 2003. The organization also liliandikishwa November 2004 and receive a certificate of registration number SO. 12,861 from the Ministry of the interior of the country. Chief beneficiaries of this organization is? Chief beneficiaries of this organization is, poor women, widows, who achika, disabled, women, refugees, orphans and those living in the environment more complex and difficult circumstances. The vision of this organization are: Be linalo care organization, advocating and protecting human rights, especially rights of women and children in the United Republic of Tanzania ..
Mission (Mission) Support, advocacy and the fight against violations of human rights, especially rights of women and children and providing social services such as education, health, humanitarian aid, strengthening the economic situation of women and improving the living conditions of members and community general. Area of work organization: To answer the constitution TWSEDHRO organization, organization This is a national organization working to any location in the United Republic of Tanzania. However, taw now an opening in District limefanikiwa yaKasulu.'s Future plan is to open offices in Kibondo District, Shinyanga Region, Mwanza, Kagera Kilimanjaro and Dar es Salaam, Goals / Objectives The TWSEDHRO are: 1. Provide education and training (seminars, workshops) Influence on human rights which are the rights of women and children and good governance in order to maintain these rights. 2. Providing health care through birth centers fya delivery services that are / will be under this organization, including providing education on reproductive health and family planning, diseases such as malaria and HIV / AIDS 3. Providing humanitarian services KW orphans, widows, the elderly and people with disabilities and victims of calamities range. 4. Providing education and vocational training skills such as early education, primary and secondary, to either build or pay school fees for students. Providing computer training, tailoring, etc. ufumaji micro credit and empowering women to participate in economic shughuri, building development centers for women and children in order to reduce poverty among communities.
|
Translation History
|