Base (Swahili) | English |
---|---|
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kushoto) akiwekeana saini na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Motherland Industries Limited kutoka India Bw, V. K. Sood (Kulia) uwekaji saini wa mikataba mitatu ya utafiti wa mafuta nchini, umefanyika leo jijini Dar es Salaam, ![]() Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (katikati) akiweka saini mkataba wa utafiti wa mafuta nchini kwa kampuni tatu kutoka nje, (kushoto) ni Mkurugenzi mtendaji wa TPDC Bw, Yona Killagane na (kulia) Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Matherland industries LTD kutoka India, Bw. V.K. Sood .(kulia). Mkataba huo umewekwa saini leo kwenye jingo la Wizara ya Nishati na Madini Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kulia) akifafanua jambo wakati wa uwekaji saini wa mikataba mitatu ya uatafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje jijini leo DSM (Kulia) ni Kamishna Msaidizi wa Nishati (Petroleum na Gas ) Bw, Prosper Victus ![]() Waziri wa Nishati na Madini Wiliam Ngeleja (kushoto) akibadilisha hati za makubaliano ya utafiti wa mafuta nchini na Mkurugenzi Mtendaji wa kampun i ya Petrobras kutoka Brazil Bw, Samuel Bastos de Miranda (kulia) , hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Slaam wakati wa hafla ya uwekaji saini wa mikataba mitatu ya utafiti wa mafuta wa kampuni kutoka nje Kamishna Msaidizi wa Nishati kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw, Prosper Victus (alisimama mbele na Kabrasha) akitoa maelezo ya awali wakati wa uwekaji wa saini mikataba mitatu ya utafii wa mafuta kutoka kampuni za nje leo wakati wa hafla hiyo kwenye jengo la Wizara ya hiyo jijiji Dar es Salaam.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO |
Minister of Energy and Minerals William (left) was wekeana signed by the Executive Director of the company's motherland Industries Limited from India, Mr, VK Sood (right) placement signed the deals research oil industry, has been held today in Dar es Salaam, ![]() Minister of Energy and Minerals William (middle), he signed a contract to research the oil industry to third party companies from outside, (left) is executive director of TPDC Mr, Jonas Killagane and (right) CEO of the company Matherland industries LTD from India Mr. VK Sood. (Right). The agreement signed today is placed on the building of the Ministry of Energy and Minerals Minister of Energy and Minerals William (right) revealing something during the installation of signed deals to studies of oil from foreign companies in today's DSM (right) is Assistant Commissioner for Energy (Petroleum and Gas), Mr., Prosper Victus ![]() Minister of Energy and Minerals William Ngeleja (left) was changed documents deal of research of oil in the CEO's kampun in the Petrobras from Brazil, Mr, Samuel Bastos de Miranda (right), the ceremony has taken place today in Dar es Slaam occasions the placement of contracts signed three oil research from outside the company Assistant Commissioner of Energy Ministry of Energy and Mines, Mr, Prosper Victus (he stood before the kit) giving details of the initial time of the placement of signed deals will fee the oil company overseas today during a ceremony in the building of the Ministry of the the city Dar es Salaam.Picha and Mwanakombo Jumaa-DEFINITION |
Translation History
|