Log in

/indabaafrica/post/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari-toka-tff-agosti-2-2011,41498: English: WI000A28CDBBDC8000041498:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

VILLA KUANZIA LIGI UGENINI
Villa Squad ya Dar es Salaam iliyopanda daraja msimu huu Agosti 20 mwaka huu itaanza michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2011/2012 kwa kucheza ugenini dhidi ya Toto Africans kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.
Mechi nyingine za raundi ya kwanza zitakuwa kati ya Coastal Union na Mtibwa Sugar (Mkwakwani, Tanga), Kagera Sugar na Ruvu Shooting (Kaitaba, Bukoba), Polisi Dodoma na African Lyon (Jamhuri, Dodoma) na Azam na Moro United (Chamazi, Dar es Salaam).
Raundi ya kwanza itamalizika Agosti 21 mwaka huu kwa mechi kati ya JKT Oljoro na Simba kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Kaluta Amri Abeid, Arusha na Yanga dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mzunguko wa kwanza (first leg) wa ligi hiyo utamalizika Novemba 5 mwaka huu wakati mzunguko wa pili (second leg) utamalizika Aprili Mosi mwakani ambapo jumla ya mechi 175 zitachezwa.
Pambano la watani wa jadi kati ya Yanga na Simba litafanyika Oktoba 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mechi ya mzunguko wa pili ambapo Simba itakuwa mwenyeji itafanyika Aprili Mosi mwakani kwenye uwanja huo huo.
NGORONGORO HEROES YAALIKWA COSAFA
Timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Tanzania (Ngorongoro Heroes) imealikwa kushiriki michuano ya umri huo ya Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwaka Afrika (COSAFA) itakayofanyika kuanzia Desemba 1-10 jijini Gaborone, Botswana.
Wachezaji wanaotakiwa kushiriki michuano hiyo ni wale waliozaliwa baada ya Januari 1, 1992. Timu zinatakiwa kuthibitisha ushiriki wao kufikia Agosti 17 mwaka huu na ratiba itapangwa Agosti 24 mwaka huu jijini Gaborone. COSAFA itachangia sehemu ya nauli ya timu shiriki kwenda kwenye mashindano hayo.
Ngorongoro Heroes inayofundishwa na Kim Poulsen akisaidiwa na Adolf Rishard hivi sasa inafanya mazoezi ya wiki moja kila mwezi.
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Kupata ratiba kamili ya ligi kuu mzunguko wa kwanza

"

VILLA FROM League away
Villa Squad of Dar es Salaam iliyopanda Bridge this season will begin August 20 this year's tournament Vodacom Premier League season 2011/2012 to play away against Toto Africans CCM Kirumba Stadium in Mwanza.
Other matches will be among the first round of the Coastal Union and Mtibwa Sugar (Mkwakwani, Tanga), Kagera Sugar and Ruvu Shooting (Kaitaba, Bukoba), Police Dodoma and African Lyon (Republic, Dodoma) and Azam and Moro United (Chamazi, Dar es Salaam).
First Round itamalizika August 21 this year with a match between Simba and JKT Oljoro Stadium Memories of Sheikh Abeid Kaluta Law, Arusha and Yanga against JKT Ruvu at the National Stadium, Dar es Salaam.
First Round (first leg), the league will end on November 5 this year during the second round (second leg) will end on April First year where a total of 175 matches zitachezwa.
Battle of the traditional birthplace of Yanga and Simba will be held October 29 this year at the National Stadium, Dar es Salaam. Match of the second round where the Lions will host First held in April next year on the same field.
Ngorongoro Heroes YAALIKWA COSAFA
Teams of young people aged under 20 years of Tanzania (Ngorongoro Heroes) imealikwa share the same age championship of the International Federation of Football in South Africa (COSAFA) held from December 1 to 10 in Gaborone, Botswana.
Players are required to participate the tournament are those born after January 1, 1992. The team should confirm their participation to 17 August this year and schedule itapangwa August 24 this year in Gaborone. COSAFA fare will contribute part of the team to participate in the tournament.
Ngorongoro Heroes taught by Kim Poulsen assisted by Adolf Rishard now doing the same exercises every week...

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
August 3, 2011
VILLA FROM League away Villa Squad of Dar es Salaam iliyopanda Bridge this season will begin August 20 this year's tournament Vodacom...