Log in

/indabaafrica/post/mabondia-wanawake-kuzipiga-idd-pili-uwanja-wa-jamhuri-moro,51557: English: WI000CBFAB8978E000051557:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
ngumi.jpg
MABONDIA Asha Abubakar na Fadhila Adam wanatarajia kudundana katika pambano la kuhamasisha ngumi kwa wanawake litakalofanyika siku ya Idd pili katika uwanja wa Jamuhuri, Morogoro.

Pambano hilo litakuwa ni miongoni mwa mapambano ya utangulizi katika pambano la marudiano kati ya mabondia wa ngumi za kulipwa Fransic Cheka na Mada Maugo.

Pambano hilo la ubingwa wa UBO linatarajia kuwa katika raundi 10 uzito wa Kg 72 huku likisimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa (PST).

Akizungumza Dar es Salaam jana, Promota wa ngumi hizo Kaike Siraju alisema, pambano hilo la kuhamasisha litakuwa la raundi 6 huku likiwa katika uzito wa kg 52 ambalo litakuwa ni moja ya pambano la kivutio siku hiyo.

"Wanawake ni wachache sana wanaoshiriki katika mchezo huu hivyo ni naimani watu watapata burudani ya kutosha kutoka kwa wadada hao," alisema kaike.

Alisema, kwa upande wa Maugo na Cheka kila bondia anaendelea kujifua katika gym yake tayari kwa kusubiri siku hiyo ambapo maandalizi yanaendelea.

Mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na huzwaji wa DVD zenye mapambano ya mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywherth, Roy Jones na wengine kiba DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha maarufu Rajabu Mhamila 'SUPER D BOXING COACH' hapo hapo uwanjani na kwa Dar es Salaam DVD hizo zinapatikana katika Makutano ya Barabara ya Uhuru na Msimbazi

--
ngumi.jpg
Boxer Asha Abubakar and Adam are expecting kudundana virtue in,: fist fight at encouraging women to be held the day of Idd,, second in the Republic Stadium, Morogoro.

,, The Battle that will be among the struggles of the introduction into,, the controversy of the return leg match between boxers of the fist paid Fransic Cheka, and topics Mugo.

,, The Battle of Champions round UBO linatarajia in 10 weight: 72 Kg with a boxing commission likisimamiwa and paid (PST).

,, Speaking in Dar es Salaam yesterday, the boxing promoter's Kaike Siraju,, he said, would promote the controversy of this being the sixth round, and at weights of 52 kg which will be one of the battle of attraction day.

,: "Women are very few who participated in this game it is naimani people will find entertaining enough from the sisters,", said kaike.

,, He said, in terms of Mugo and Laugh every boxer keeps kujifua, and at his gym ready to wait a day where preparations develops.

,, Apart from the existence of fights there are zwaji the DVD with,, the struggle of the champions of the world, including Manny Paquaio, Floyd Maywherth,,, Roy Jones and others kiba DVD are designed for the quality of the state,, on will be exports going to struggle Rajab was the famous coach Mhamila 'SUPER D Boxing Coach' there to pitch and Dar es Salaam, the DVD is available at the intersection of Liberty Road and Msimbazi

-

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
August 21, 2011
(image) Boxer Asha Abubakar and Adam are expecting kudundana virtue in,: fist fight at encouraging women to be held the day of Idd,, second in the Republic Stadium, Morogoro. – ,, The Battle that will be among the struggles of the introduction into,,...
This translation refers to an older version of the source text.