Log in

/envaya/report/92167/page/mapendekezo: English: WI0006915AC6FC6000099127:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kufanya Utafiti

Hivi sasa Envaya iko kwenye mchakato wakishirikiana na mashirika jijini Dar es Salaam kutoa utafiti kuhusu mafuriko yaliotokea Dar es Salaam mwezi disemba mwaka jana. Yafuatayo ni maoni na mapendekezo yaliyojitokeza wakati wa semina iliyoitishwa na Envaya tarehe 18/01/12 na 19/01/12. 

  • Unapoenda kufanya utafiti Siyo lazima uende na laptop
  • Lazima uonyeshe mahusiano, usijifanye mwandishi, uonyeshe ubinadamu na ujenge urafiki
  • Ni vizuri kuwahusisha viongozi wa serikali za mitaa na wajumbe wa nyumba kumi
  • Jieleze vizuri mmetoka wapi na mmekuja kufanya nini, watanzania ni waelewa watashirikiana na wewe mkijitambulisha vizuri
  • Ni vizuri kila asasi ikiwa inatazama lengo la asasi yake wakati inauliza yale maswali husika.
  • Sio vizuri kuahidi chochote, waeleze ukweli kwamba hii ni tafiti shirikishi yenye lengo la kuwasaidia jamii kwa ujumla.
  • Kila mtu ananjia zake zakupata na kumshawishi mtu anayemhoji
  • Msiogope kuuliza maswali mengine ambayo hayajaandikwa kwenye fomu ya utafiti
  • Kuna maeneo megine kabisa ambayo hayajaongelewa ambayo yameadhirika sana na mafuriko, kama: Kariakoo, Tabata, Mbagala, Temeke. Ni lazima na haya maeneo yawakilishwe kwasababu vyombo vya habari vimeyasahau kabisa.
  • Lengo la utafiti ni kutoa habari ambayo haijulikani.
  • Pia ni muhimu kuzingatia watu wanapoenda au wanapohamishwa siyo tu walipotoka.
  • Msisahau kwamba lengo la kufanya utafiti na kutoa habari ni kujiwezesha kuleta maendelo (empower ourselves to bring about change).

Suggestions on How to Do Research

Currently Envaya is in a process in collaboration with agencies in Dar es Salaam to provide research on floods Dar es Salaam yaliotokea month december last year. The following are comments and suggestions during the workshop and Envaya iliyoitishwa on 18/01/12 and 19/01/12.  

  • When you go to do research not necessarily go with laptop
  • You must show a relationship, do not assume the author, show humanity and build friendships
  • It is best to involve local government officials and members of the ten houses
  • Well explain where you come from and why do you come, Tanzanians are understanding they share with you if you introduce yourself properly
  • It's good to each organization as regards the goal of his organization when it asks the relevant questions.
  • It's better not promising anything, explain the fact that this is a collaborative research aimed at helping the community at large.
  • Each person has his ways and convince zakupata person interviews
  • Do not be afraid to ask other questions that are not yajaandikwa the form of research
  • There are areas that are not quite megine yajaongelewa which yameadhirika and flooding, such as: Kariakoo, Tabata, Mbagala, Temeke. It must be because these areas yawakilishwe media vimeyasahau completely.
  • The aim of the study is to provide information that is unknown.
  • It is also important to consider people acting or pohamishwa not only were left.
  • Do not forget that the purpose of conducting research and providing information to the development is kujiwezesha (empower ourselves to bring about change).

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 29, 2012
Suggestions on How to Do Research – Currently Envaya is in a process in collaboration with agencies in Dar es Salaam to provide research on floods Dar es Salaam yaliotokea month december last year. The following are comments and suggestions during the workshop and Envaya iliyoitishwa on 18/01/12 and 19/01/12. – When you go to do research not necessarily go with laptop ...