Log in

/indabaafrica/post/shule-nne-za-sekondari-mkoani-morogoro-zapokea-vitabu-kutoka-air,52854: English: WI000A579CB145B000052854:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

01.JPG
Meneja Mauzo Kanda ya Pwani wa kampuni ya simu ya Airtel, Aluta Kweka (kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa vitabu kwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Alfred Shayo vilivyotolewa na kampuni hiyo kwa Shule za Sekondari za SUA, Mwembesengo, Mji Mpya na Mgulasi Mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Sekondari ya SUA, Khalfan Millongo, Meneja Huduma za Jamii wa Airtel Tunu Kavishe na Diwani wa Kata ya Mbuyuni, Samuel Msuya. Vitabu hivyo vina thamani ya shs milioni 4.
02.JPG
Meneja Huduma za Jamii wa Airtel Tanzania, Tunu Kavishe (wa tatu kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa vitabu kwa mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari SUA, Rogers Shempemba vilivyotolewa na kampuni hiyo kwa Shule za Sekondari za SUA, Mwembesengo, Mji Mpya na Mgulasi Mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja Mauzo wa Airtel Kanda ya Pwani, Aluta Kweka na Mkuu wa Sekondari ya SUA, Khalfan Millongo.

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondari nne za mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kusaidia jamii hapa nchini.

Shule zilizopata msaada wa vitabu ni shule za sekondari ya Mwembesongo, Mji mpya, SUA na Mgulasi.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo, Meneja Huduma za jamii wa Airtel, Tunu Kavishe, alisema "shule hizi nne za jijini Morogoro ni kati ya shule zaidi ya 800 nchini ambazo zimeshanufaika na kampeni maalum ya Airtel Shule yetu inayoendeshwa na airtel kwa lengo la kusaidia elimu nchini Tayari tumeshatoa msaada wa vitabu vyenye thamani ya zaidi ya bilioni moja nab ado tunaendelea!!

Alisema Tunu "Tumeamua kuweka uwiano sawa wa shule kila mkoa ili kuhakikisha kuwa vitabu hivi vinawafikia wanafunzi katika maeneo yote nchini. mkakati wetu ni kwamba kila shule nchini inayoingia kwenye kampeni yetu ya airtel shule yetu ipate vitabu vyenye thamani ya Shilingi milioni moja", alisema Kavishe.

Aliongeza kuwa, kwa kuzingatia ya kwamba kila shule ina mahitaji ya vitabu tofauti tofauti kulingana na mitaala waliyonayo, shule zote zimepewa vitabu kutokana na mapendekezo waliyotoa juu ya aina gani ya vitabu wanahitaji ili kuziwezesha shule hizo kukabiliana na uhaba wa vitabu na kufukuza adui ujinga.

"Tunayo malengo ya dhati kabisa katika kusaidia kuinua kiwango cha elimu hapa nchini na kuhakikisha kinaongezeka, hasa kupitia upatikanaji wa vitabu kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Kavishe.

Kampuni ya simu ya Airtel imekuwa mstari wa mbele katika kuchangia sekta ya elimu hapa nchini.

"Mbali na zaidi ya shule hizo 800 za sekondari ambazo zimeshanufaika na mpango huu wa kusaidia vitabu vya ziada na kiada ujulikanao kama Airtel shule yetu, Airtel Tanzania tayari tunao mradi wa kusaidia shule za msingi hapa nchini ambapo hivi karibuni tutauweka wazi ili kila mzazi na shule kuutambua na waweze kunufaika nao" alimalizia Kavishe!

Akipokea vitabu hivyo Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Alfred Shayo aliishukuru Airtel na kutoa wito kwa makampuni mengine kuiga mfano huo na kuhimiza wanafunzi kuvitumia kiuhakiki na kwa uangalifu ili vidumu zaidi "Airtel tunawashukuru sana!

Lakini niombe waalimu na wanafunzi shule zote muwe makini na kutunza nyenzo hizi za elimu kwa kuwa zitasaidi sana kwanza kumuondo adui ujinga na baada ya hapo itasaidia kuinua maendeleo ya mkoa wetu kwa kuwa na wasomi bora" alisema Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Alfred Shayo Nae Mkuu wa Sekondari ya SUA, Khalfan Millongo.

Akipoke msaada huo kwa niaba ya waalimu wakuu wa shule zilizofaidika na kampeni ya Airtel shule yetu alishukuru na kusema " tunawashukuru sana airtel kwa kuchangia elimu hii ni kuonyesha jinsi gani mnawajibika na jamii

Thamani ya msaada huu huwezi kuipima kwa kuangalia gharama ya vitabu bali thamani halisi ipo katika maarifa yaliyomo ndani ya vitabu hivi. Hivyo ni msaada ambao hautaisha thamani. Tunasema asante san.

Vitabu hivi vitahakisha kufikia lengo la Serikali kupitia mpango wake wa MMES II ambao umelenga kuwa na uwiano wa 1:3 kwa vitabu vya kiada yaani kitabu kimoja kwa wanafunzi watatu Mwisho naomba niwahakikishe vitabu hivi vitatumika kama ilivyokusudiwa! alimaliza kusema Mkuu wa Sekondari ya SUA,Khalfan Millongo.

01.JPG
Sales Manager Coastal Zone of the phone company Airtel, Aluta set (left), he handed over part of the help of books for Administrative Secretary of the District of Morogoro, Alfred Shayo issued by the company for the Secondary Schools of the SUA, Mwembesengo, New City and Morogoro Region Mgulasi weekend. The second left is General Secondary SUA, Khalfan Millongo, Manager of Community Services Airtel and Certification Kavishe Mbuyuni Councillor for Ward, Samuel Msuya. These books are worth Shs 4 million.
02.JPG
Manager Community Services of Airtel Tanzania, Tunu Kavishe (third left) was handed over part of the help of books for one of the students of Secondary School SUA, Rogers Shempemba issued by the company for the Secondary Schools of the SUA, Mwembesengo, New City and Mgulasi Morogoro region this weekend. Left is the Regional Sales Manager of Airtel Coastal, Aluta put and General Secondary SUA, Khalfan Millongo.

The company's mobile phone to Airtel imekabidhi support and additional textbooks for the four secondary schools in Morogoro, as part of efforts to help communities in the country.

Schools that received assistance are books Mwembesongo secondary schools, a new city, SUA and Mgulasi.

Speaking at the handover of books, Manager Community services of Airtel, Tunu Kavishe, said "these schools four in Morogoro is between the school more than 800 in which zimeshanufaika and campaign specific Airtel Our school run by Airtel to focus on supporting education We have already offered assistance in the books worth over one billion yet we continue!

Said Certification "We have decided to keep balanced the school each region to ensure that these books vinawafikia students in all areas in the country. Our strategy is that every school in the country moves into the campaign of Airtel school competitively books worth shillings one million", said Kavishe .

He added that, considering that every school has a demand for books different according to the curriculum they have all schools zimepewa books on the recommendation they gave up the kind of books they need in order to enable these schools to cope with the shortage of books and drove the enemy ridiculous.

"We are absolutely sincere goal to help raise the standard of education in the country and ensure increasing, mainly through the acquisition of books for students of secondary schools. Kavishe.

Phone company Airtel has become the forefront in contributing to the education sector in the country.

"Far more than these schools 800 secondary schools which zimeshanufaika this plan to help books surplus and customarily known as Airtel our school, Airtel Tanzania we already have a project to help primary schools in the country where we will soon be laid open to every parent and school and known what they can benefit from them, "he concludes Kavishe!

Receiving books Administrative Secretary Morogoro District, Alfred Shayo thanked Airtel and called for other companies to emulate this example and encourage students to use kiuhakiki and more permanent attention to "Airtel we thank them very much!

But I request the teachers and students all schools to be careful to keep these materials for education to be zitasaidi very first kumuondo enemies, ignorance and afterwards will help promote the development of our region to be educated better, "said Administrative Secretary of the District of Morogoro, Alfred Shayo Nae General Secondary SUA, Khalfan Millongo.

Akipoke grant on behalf of teachers and school principals zilizofaidika campaign Airtel our school was grateful and said "we are very thank Airtel for sharing this knowledge is to show how communities are responsible

The value of this support is not measured by looking at the cost of books, but the real value is in the knowledge contained within these books. So is the support that it is finished value. We say thank you san.

These books vitahakisha achieving the Government through its program of SEDP II, which is targeting a ratio of 1:3 for the textbook textbook for students I niwahakikishe last three books will be used...

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
December 15, 2011
(image) Sales Manager Coastal Zone of the phone company Airtel, Aluta set (left), he handed over part of the help of books for...
Google Translate
August 21, 2011
(image) Sales Manager Coastal Zone of the phone company Airtel, Aluta set (left), was handed over part of the help books for...
This translation refers to an older version of the source text.