Log in

/indabaafrica/post/uchunguzi-wa-moto-uliounguza-nyumba-ya-kapt-john-komba-waendele,52934: English: WI0004D9D8426D5000052934:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Michael+Kamuhanda.JPG
Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Michael Kamuhanda.


Na Stephano Mango ,Songea.
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma tayari limeshaanza kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la ajari ya moto ulioteketeza nyumba ya Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi Kapteni John Komba iliyokuwa na thamani ya sh. Milioni 150.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Michael Kamuhanda alisema kuwa nyumba ya Kapteni Komba iliyoteketea kwa moto Agosti 15 mwaka huu majira ya saa 11 arfajiri ilikuwa na mali ambayo thamani yake bado haijafahamika licha ya kuwa mmiliki wa nyumba hiyo ameshatoa taarifa kuwa ilikuwa na thamani ya sh. Milioni 150.
Mbali na thamani ya vitu vilivyokuwemo kwenye nyumba hiyo pia afisa masoko wa benki ya wananchi Mbinga (MCB) Emanuel Kumburu (38) aliyekuwa ni mmoja wa wapangaji inadaiwa amepoteza sh. Milioni 4030,000 pamoja na nyaraka mbalimbali za benki hiyo ambazo zilikuwa zimehifadhiwa kwenye chumba alichopanga.
Kamanda huyo alisema kutokana na hali hiyo tayarri polisi imeshaanza kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli halisi wa tukio hilo kwani upo uvumi kwamba inasadikiwa kuwa kuna watu wasiofahamika walichoma nyumba hiyo kwa kutumia mafuta ya petroli na licha ya kuwa awali ilibainika kuwa chanzo kilikuwa ni itilafu ya betri za umeme juwa (Solar )ambazo zilisababisha kuwaka moto na kuteketeza nyumba hiyo.
Kwa upande wake Mbunge huyo Kapteni Kaomba alieleza kuwa thamani ya mali zilizokuwepo kwenye nyumba hiyo ni vigumu kuijuwa haraka hivyo alisema kuwa anahitaji apatiwe muda mzuri ndipo ataweza kujuwa idadi ya mali zilizotekete kwa moto ambazo zilikuwa kwenye nyumba hiyo.
Capt Komba alisema kuwa anaamini kuwa jeshi la polisi ni chombo cha dola ambacho kinauwezo wa kufanya uchunguzi zaidi na kubaini chanzo cha tukio hilo hivyo shughuli hiyo anaiachia jeshi la polisi liendelee kufanyia uchunguzi zaidi.

Michael+Kamuhanda.JPG
Police Commander Michael Kamuhanda Ruvuma Region.


And Stephano Mango, Songea.
Police in Ruvuma limeshaanza ready to investigate the occurrence of injury related to the fire was consuming the house of MP from the state of West Mbinga Captain John Komba was valued at sh. 150 million.
Speaking to the reporters, Regional Police Commander of the Ruvuma Michael Kamuhanda said that the house of Captain Komba iliyoteketea by fire on August 15 this year summer at 11 arfajiri had assets worth not yet known despite being the owner of the property has already reported that was worth sh. 150 million.
Apart from the value of the items that was in the same household bank marketing officer of the public Mbinga (MCB) Emanuel mongoose (38) who was one of the tenants allegedly lost sh. 4030.000 million including various bank documents that were stored in the room was planned.
Commander said given the situation tayarri police has begun investigations of detail to identify the reality of the event as there is speculation that projected that there are people who understood they burned the house with petrol and despite being initially it was found that the source was itilafu of electric battery know (Solar) which caused the fire to burn and destroy property.
For his part, Captain Kaomba MP explained that the value of assets available in the home is difficult kuijuwa quickly so he said of him that he needs a good time so that he may know the number of properties that were zilizotekete to fire on the property.
Capt Komba said that he believes that the police is a dollar that kinauwezo to make further investigations to identify the source of the event that the activity has left the police force continue to do further investigation.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
December 6, 2011
(image) Police Commander Michael Kamuhanda Ruvuma Region. ...
Google Translate
August 21, 2011
(image) Police Commander Michael Kamuhanda Ruvuma Region. ...
This translation refers to an older version of the source text.