Envaya

/indabaafrica/post/yanga-yashindwa-kutamba-nyumbani-leoyatoka-sare-ya-bao-1-1-na,104223: English: WI000290776FB74000104223:content

Base ((unknown language)) English
21.jpg
Mshambuliaji wa Timu ya Zamaleck,Amr Hassan Zaki akipiga shuti lililompita mlinda mlango wa Yanga,Shaaban Kado na kutinga wavuni na kufanya matokeo kuwa 1-1 yaliyodumu mpaka mwisho wa mchezo.
22.jpg
Wachezaji wa Zamaleck wakipongezana mara baada ya kusawazisha bao lao.
23.jpg
Hivi ndivyo matokeo yalivyokuwa mpaka mwisho wa mchezo wa leo.
24.jpg
Kocha Mkuu wa timu ya Zamaleck,Hassan Shehata akizungumza na vyombo vya Habari mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa leo,ambapo amesema kuwa Yanga ni timu nzuri na si ya kuibeza kwani wanacheza mchezo mzuri sana na wanajipanga kwenye mchezo wao wa marudiano.
KUTOKA MICHUZI BLOG
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register