Log in

/indabaafrica/post/precision-air-yaanza-safari-za-hahaya-comoro,52852: English: WI000BAFCCCD5A6000052852:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Pic+1.JPG
Abiria wa kwanza kusafiri na Precision Air kutoka Komoro walionekana kufurahia huduma hiyo ya ndege. Jumla ya abiria walikuwa 110, ndege iliyofanya safari hiyo ni aina ya Boeing 737-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 116.
Pic+2.JPG
Ndege aina ya Boeing 737-300 ilivyotua kwa mara ya kwanza uwanja wa ndege wa kimataifa wa Prince Ibrahim.
Pic+3.JPG
Mkurugenzi Mkuu na Meneja Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse (kulia) akikaribishwa na mwenyeji wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi nchini Komoro Bw. Abdulahi Mwinyi mara baada ya kuwasili na safari ya kwanza ya shirka ya ndege hiyo kutokea uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere-Dar es Salaam.
Pic+5.JPG
Mkurugenzi Mkuu na Meneja Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse Kioko akiteta na Mwenyekiti wa Galaxy General Sales Agents, Bw. Nassor Ali. Kampuni ya Galaxy ni wakala rasmi wa Precision Air nchini Comoro.
Pic+6.JPG
. Mkurugenzi Mkuu na Meneja Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse Kioko akisindikizwa kwenda kupanda ndege na wenyeji wake baada ya uzinduzi mfupi uliofanyika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Prince Ibrahim, Hahaya-Komoro.
Pic+7.JPG
Afisa Mawasiliano wa Precision Air, Bw. Amani Nkurlu akiwa na wana anga wa shirika la ndege hilo walioshiriki kufanikisha safari ya kwanza ya kwenda na kurudi Hahaya-Komoro kutokea Dar es Salaam jumatano iliyopita.

Pic+1.JPG
The first passengers to travel with Precision Air from Komoro seemed to enjoy the services of aircraft. Total passengers were 110, why the plane trip is a type of Boeing 737-300 capable of carrying 116 passengers.
Pic+2.JPG
Boeing 737-300 type aircraft ilivyotua first international airport of Prince Ibrahim.
Pic+3.JPG
General Manager and Director of Precision Air Mr. operator. Alfonse (right) was welcomed by his host Secretary General of the Ministry of Transport in Komoro Mr. Abdulahi Mwinyi immediately after arrival of the first voyage of birds that occur shirka international field of Julius Nyerere in Dar es Salaam.
Pic+5.JPG
General Manager and Director of Precision Air Mr. operator. Alfonse are he contend with the Chairman of Galaxy General Sales Agents, Mr. Nassor Ali. Company Galaxy is the official agent of Precision Air in Comoros.
Pic+6.JPG
. General Manager and Director of Precision Air Mr. operator. Alfonse's are escorted to boarding an aircraft and its inhabitants after the launch was held short of the international airport of Prince Ibrahim, Hahaya-Komoro.
Pic+7.JPG
Communications Officer of Precision Air, Mr. Nkurlu have peace with the atmosphere of the airlines involved to achieve their first journey to and from Hahaya-Komoro Dar es Salaam last Wednesday.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 27, 2012
(image) The first passengers to travel with Precision Air from Komoro seemed to...
Google Translate
August 21, 2011
(image) The first passengers to travel with Precision Air from Komoro...
This translation refers to an older version of the source text.