(image) Rais Dk. Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Arumaru Marehemu Jeremiah Sumari katika mazishi yaliyofanyika mkoani Arusha leo huku rais Jakaya akiongoza mamia ya waombolezaji.
NA GLADNESS... | (Not translated) | Edit |