Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/tama-bukoba/topic/123268
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Donation
Mchango
Hariri
Salaam ndugu zangu wana Kagera na Watanzania kwa ujumla. – Kuanzia tarehe 2.7.2012, mkoa wa Kagera hasa Wilaya ya Biharamulo, wananchi wilayani humo wameanza kutoa maoni yao katika kata ya Kalenge na Movata katika Mchakato wa Katiba Mpya. Tume ya Mabadiliko ya Katiba itaendelea kukusanya maoni ya wana Kagera katika wilaya ya Ngara (6.7.2012), Karagwe (9.7.2012), Kyerwa (12.7.2012), Misenyi (16.7.2012), Bukoba DC (19-21/7/2012), Bukoba MC (22-25/7/2012) na Muleba (26-29/7/2012)....
(Bila tafsiri)
Hariri
TOA MAONI: KATIBA TUITAKAYO TANZANIA
(Bila tafsiri)
Hariri