Envaya

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: dM000D7D5E174D6000041000:content

Asili (Kiswahili) English

Kuanzia tarehe 17 hadi 24 July 2011 Madereva wa magari yanayopeleka mizigo nje ya nchi waligoma kwa kile walichokiita serikali kufumbia macho kwa makusudi tatizo la wenye magari hayo kutowapatia mikataba, kutowaajiri na hata kuwaminya katika posho za kupeleka mizigo hiyo nje huku umri ukienda pasipo kupatiwa ufumbuzi. Kilichotokea baada ya siku 7 waziri wa uchukuzi akafika na kueleza kuwa mgomo huo umeathiri uchumi licha ya njia zilizochukuliwa kutokuwa sahihi, je ni kweli serikali haifahamu kuwa ni mbinu za wafanyabiashara kumaximize profit kwa kutumia njaa za madereva wetu kupewa deiwaka na matokeo yake wanasinzia huku wanaendesha na kusababisha ajali?hivi madereva hawa si ndio kaka zetu, baba zetu na ndugu zetu ambao wakati ukifikia wa kuzeeka wanakuwa hawana pa kujihifadhi halafu tunawazomea kuwa walichezea ujana? au kuna viongozi wenye magari humo katika kampuni hizo za usafirishaji ndiyo sababu masikio yalichelewa kusikia sauti hizo? changia hapa

From 17th to 24th July 2011 Drivers of vehicles yanayopeleka cargo abroad were on strike for what they called the government turning a blind eye to willful problem with these trucks kutowapatia contracts, kutowaajiri and kuwaminya in allowance for transferring loads it out with age if you go without find solutions. What happened after 7 days the minister of transport came to explain that the strike has affected the economy in spite of the way taken wrong, is it true the government does not know a method of business kumaximize profit organization with a hunger for drivers to our assigned deiwaka and the results are sleepy while they drive and cause an accident? these drivers are not these our brothers, our fathers and our brothers who come of aging while they have no place kujihifadhi then we boo they played youth? or motorists there are leaders in the transportation company that's why yalichelewa ears to hear these voices? contribute here


Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
29 Julai, 2011
From 17th to 24th July 2011 Drivers of vehicles yanayopeleka cargo abroad were on strike for what they called the government turning a blind eye to willful problem with these trucks kutowapatia contracts, kutowaajiri and kuwaminya in allowance for transferring loads it out with age if you go without find solutions. What happened after 7 days the minister of transport came to explain that the strike has affected the economy in spite of the way taken wrong, is it true...