TAYODA believes that, the Draft Katiba agenda mostly need the Agenda setters - herein refers to Youthtz.
Maoni (0)
Vijana tunayo nafasi kubwa na ya kipekee kushiriki kwenye mchakato wa Katiba kwa kuisoma na kuchangia kwenye Rasimu ya Katiba Mpya. Karibuni
Adha ya maji inayowakabiri wanakijiji wa Chogora kata ya Masa, Mpwapwa walipotembelewa na TAYODA. Septemba 3,2012.
Kikundi cha TAYODA - Iyoma wakiwa shambani kwenye maandalizi ya kilimo. Septemba 3,2012.
Baadhi ya Vijana wa kikundi cha TAYODA cha kijiji cha Msagali wakieleza changamoto zinazowakabiri kwa sasa. Septemba 3, 2012.