WANANCHI WAWAFANYIA VURUGU POLISI WAKATI WAKIENDA KUUFANYIA UCHUNGUZI MWILI WA MWANAFUNZI ALIYEUWAWA KWA KUTHUMUMIWA KUIBA SIMU
Moja wa maaskari wa kutuliza fujo akiwa amejeruhiwa kwa kupigwa mawe na wananchi hao wa chunya |
Kijana huyu rasi ni moja wa vijana waliokuwa wakiwazuia polisi wasichukue mwili wa marehemu |
Wananchi wakiwatupia mawe polisi |
Mji mdogo wa chunya ukiwa hauna hata mtu mmoja anaeonekana maeneo waliopo polisi |
Hiki ndiyo kituo cha polisi lupa tingatinga chunya kilichoharibiwa na wananchi wenye hasira kali |
Hii ni nyumba ambayo walikuwa wakiishi askari wanaotuhumiwa kumuua mwanafunzi aliyetuhumiwa kuiba simu vifaa mbali mbali ya matumizi ya nyumbani vilichomwa moto na wananchi hao |
Mkuu wa polisi mkoa wa mbeya Advocate Nyombi akiongea na viongozi wa lupa tingatinga chunya jana |
Viongozi wa kijiji cha lupa tingatinga wakimsikiliza mkuu wa polisi mkoani mbeya jana Habari na picha tutawaletea baadae |