Envaya
Indaba Africa
SAKATA LA KUGOMBEA MAFUTA DAR
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza.
Edit translations
SAKATA LA KUGOMBEA MAFUTA DAR
Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar es Salaam jana. Camel ni miongoni mwa kampuni za mafuta zilizoamriwa na Serikali kuacha mgomo na kuanza kuuza mafuta ama sivyo ingechuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo ya kufutiwa leseni.
Askari wakituliza vurugu za kugombea mafuta eneo la Vetinari, Temeke, Dar
"
10 Kanama, 2011 binyuze ku dtwevetz.blogspot.com
« Inyuma
Ahakurikira »
Tanga igitekerezo
Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.