Log in
Indaba Africa

Indaba Africa

Mbeya, Tanzania

Rais aanza kutumikia kifungo gerezani





Rais wa zamani wa Israel Moshe Katsav (66) ameanza kutumikia kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kubaka. Katsav alifikishwa kwenye gereza la Maasiyahu jana kuanza kutumikia adhabu yake hiyo. Kwa habari zaidi, BONYEZA HAPA.
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.