Fungua
Indaba Africa

Indaba Africa

Mbeya, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

Rais aanza kutumikia kifungo gerezani





Rais wa zamani wa Israel Moshe Katsav (66) ameanza kutumikia kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kubaka. Katsav alifikishwa kwenye gereza la Maasiyahu jana kuanza kutumikia adhabu yake hiyo. Kwa habari zaidi, BONYEZA HAPA.
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.