Log in
Indaba Africa

Indaba Africa

Mbeya, Tanzania

MERCEDES BENZ NI ZAIDI YA GARI!

benzi+hou.jpg
Wadau wa Blog hii Frank Kilasi na Sadnes Ngetwa wakiliangalia gari aina ya Mercedes Benz lililoburuzika kwa umbali wa takribani mita 500 lakini likafikia ukomo wake likiwa limeharibika mbele na nyuma huku viti vyake vikiwa salama hivyo kuwawezesha abiria waliokuwa wamefunga mikanda kubakia salama kutokana na kona za gari hilo eneo la abiria kusalimika! kweli nimelikubali hili ni gari la usalama.

« Previous Next »

Comments (1)

Naima matwanje (kimara dar es salaam) said:
i need to apply for my insuranace claims trough e mail...can you send you mail to my address
July 30, 2018

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.