Envaya

Indaba Africa

*MAMBO YA KAWE YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA IRINGA

*MAMBO YA KAWE YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA IRINGA


IMG_6734.JPG
mwendesha baiskeli wa kundi la wakali wa Morroco jijini Dar, Masoud Self, akionyesha umahiri wake wa kucheza na baiskeli kwa kuwaruka watu 8 kwa wakati mmoja waiwa wamelala chini ,mchezo huu ulifanyika katika stendi ya mkoa wa Iringa jana wakati wa Tamasha la Faidika. Mambo kama haya hufanyika kila siku ya jumapili katika Viwanja vya Tanganyika Parkers Kawe jijini Dar es Salaam, ikiwa sambamba na mchezo wa mashindano ya Pikipiki.
IMG_6735.JPG
Vimbwanga vya waendesha Baiskeli vikiendelea katika Stendi ya Iringa.
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.