Envaya

Indaba Africa

MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAENDELEA KUPAMBA MOTO

MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAENDELEA KUPAMBA MOTO


DSC00085.JPG
Askari wa JWTZ wa kikosi cha 44 KJ wakiwa mazoezini kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa jijini Mbeya
DSC00096.JPG
Bendi ya jeshi la Magereza wakiongoza gwaride
DSC00083.JPG
DSC03889.JPG
Ukumbusho wa askari waliokufa vitani 1939 1945
DSC00067.JPG
Wanajeshi wakiendelea na mazoezi
DSC03892.JPG
Mnara huu wa majina ya Mashujaa waliokufa vitani upo katikati ya jiji la mbeya sijui kama nao wataukumbuka kuufanyia usafi maana umezungukwa na nyasi
KUTOKA BLOG YA MBEYA YETU
"
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.