Envaya

Indaba Africa

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi,(CCM) Nape Nnauye Ashiriki Kwenye Mahafali Ya Shule Aliyosoma Mkoani Mwanza

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi,(CCM) Nape Nnauye Ashiriki Kwenye Mahafali Ya Shule Aliyosoma Mkoani Mwanza

1.jpg
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akikaribishwa na Mkuu wa shule ya sekondari Nsumbi, Mwanza juzi alipowasili akiwa mgeni rasmi katika mahafali ya kidato cha sita ya shule hiyo.
6.jpg
Nape akiwa na viongozi wa shule wakiwa wamsimama kuwakumbuka wanafunzi wawili wa kidati cha sita waliofariki dunia hivi karibuni.
13.jpg
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimkabidhi cheti mhitimu wa kidato cha sita, Burilo Busagi, katika mahafali ya kidato cha sita shule ya Sekondari Nsumba, Mwanza. Jumla ya wahitimu 374 wa kidato hicho walipewa vyeti. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo Josephat Zakeyo
5.jpg
Nape akiwasalimia wahitimu wa kidato cha sita waliokuwa wakimsubiri awatunuku vyeti katika mahafali ya shule ya sekondari ya Nsumbi, Mwanza. Kulia ni Mkuu wa shule hiyo, Jozephat Zakeo.
2.jpg
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape NNauye akikagua moja ya mabweni ya shule hiyo kabla ya kutunuku vyeti kwa wahitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Nsumbi, Mwanza juzi. Bweni hilo analokagua ndilo alitumia aliposoma kidato cha nne katika shule hiyo mwana 1994 hadi 97. Wapili kushoto ni Mkuu wa shule hiyo Josephat Zakeo.
3.jpg
Nape akikagua ujenzi wa jengo jipya katika shule hiyo.
4.jpg
Nape akikagua leo bweni alimokuwa akilala wakati anasoma kidato cha nne katika shule ya Nsumbi, Mwanza mwaka 1997.
8.jpg
Wahitimu wakishangilia hotuba ya Nape.
7.jpg
Wahitimu wa kidato cha sita wakiingia kwa wimbo maalum kwenye ukumbi wa sherehe za mahafali yao.
15.jpg
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na mwanafunzi aliyesoma shule ya sekondari ya Nsumba, Mwanza, kati ya mwaka 1954 na 1957 (darasa la nane na kumi) Damas Ngoma, wakati wa mahafali ya kidato cha sita ya shule hiyo juzi. Nape ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo alisoma pia katika shule hiyo hadi kidato cha nne ambacho alimaliza mwaka 97. Watatu ni Mkuu wa shule hiyo Josephat Zakeo.
hakingowi?d=yIl2AUoC8zA
ciSAwctRY0s
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.