Envaya

sehemu ya Madereva wa magari makubwa yanayobeba mizigo kwenda nje ya nchi wakizungumzia hatua ya kugoma kwao katika eneo la Tunduma, habari hizi ni sehemu ya kazi zilizofanywa na Indaba africa kuweza kufikisha ujumbe kwa watanzania ndani na nje waliokuwa wakifuatilia sakata hilo ambalo hatimaye limefikiwa makubaliano baina ya serikali, wamiliki na maderva wenyewe.

29 Julai, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.