Envaya

HakiElimu

Hali mbaya ya miundombinu ya shule wilayani Nyasa

Hali mbaya ya miundombinu ya shule wilayani Nyasa

sita.jpg

moja.jpg
Haya ni majengo ya vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Ndonga
 iliyopo Kata ya Kihagara wilayani Nyasa katika mkoa wa Ruvuma,  ambavyo viliezuliwa na
 kubomoka tangu 2011,wanafunzi wamekuwa wakisoma huku wakipigwa na jua na masomo husimama kipindi cha mvua
MBILI.jpg

Mlundikano darasani, dawati linalopaswa kukaliwa na wanafunzi watatu ama wanne 
linatumiwa na wanafunzi watano. Hii ni Shule ya Msingi Ndonga iliyopo wilayani Nyasa

TATU.jpg

Hiki ni choo cha walimu kama kinavyoonyeshwa na mwalimu









« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.