@lilianruga Inasikitisha kwa kweli badala ya elimu kwenda mbele inarudi nyuma, yapata miaka mingapi toka muwasilishe ujumbe huu?
dozens of people followed me and 2 people unfollowed me // automatically checked by http://t.co/SaFvd1t8
@MariaSTsehai @lilianruga @Semkae @Islam_Dar Alipokatazwa akamkatakata mapanga mwalimu na kumngofoa kiganja cha mkono na vijana wa kisonjo
@MariaSTsehai @lilianruga @Semkae @Islam_Dar Kwa mujibu wa chombo kimoja cha habari ni mwananchi aliyekuwa akililisha mifugo shuleni
@MariaSTsehai @lilianruga @Semkae @Islam_Dar True and this is a second time morani kuwapiga walimu
@lilianruga @Semkae @MariaSTsehai @Islam_Dar Wasipokuwa wanachukuliwa hatua watapiga hata polisi na viongozi na wanajamii wengine
Tunaalani vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuwapiga hadi kuwajeruhi walimu. Sheria ichukue... http://t.co/nF5WJOSw
