@SAelloc Kampeni mbalimbali kuikumbusha serikali na jamii kutimiza wajibu wao ! Uhamasishaji na Utetezi ndio kazi yetu ! Mdharau Mwiba?
@arafat_86 Yap mwaka jana tuliliona hili linalotokea sasa ! Soma ripoti hiyo kwa undani ufahamu nini tuligundua
Mwaka 2011 mwezi Octoba; HakiElimu ilifanya utafiti kufahamu kama walimu wana hamasa ya kufundisha , soma hapa http://t.co/h7oFHJjZ
Mchana mwema,Tusipoziba ufa tutajenga ukuta ! Mwenye macho haambiwi tazama ! TAFAKARI CHUKUA HATUA #MgomoWalimu
Pressconference: Walimu pia wanaangalia na wanafahamu yanayoendelea mfano rushwa, ufisadi, ubadhirifu halafu serikali haina uwezo?????
Press conference: Pia taifa lielewe wanafunzi nao wanajitambua na wanafahamu haki zao #mgomowalimu
Press conference: Madhara ya mgomo baridi wa walimu yameonekana katika matokeo ya mitihani pia maendeleo ya wanafunzi
#Press conference: Katika hili #mgomowalimu Serikali inatakiwa kutumia maarifa zaidi kuliko ubabe
Pressconference: HakiElimu haiungi mkono watu wanaowatumia watoto au kuwashawishi kuandamana na kuhatarisha usalama wao #mgomowalimu
