Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Pressconference: Viongozi wa Serikali wasiwabeze walimu; kwa kufanya hivyo wanawakatisha tamaa #mgomowalimu
Comments (0)
Pressconference:Tunaamini kwamba mahakama italiangalia suala hili na kutenda haki, lakini wajibu wa Bunge uko pale pale #mgomowalimu
PressConference: Inasikitisha kwamba Bunge linakwepa kujadili tatizo hili kwa maelezo kwamba liko mahakamani #mgomowalimu
Bunge litenge muda kujadili suala hili kwa kina na kuishauri serikali, hasa kuhusu tahadhari za kuchukua ili tatizo kama hili lisitokee tena
PressConference: Wanafunzi hawawezi kujifunza bila walimu; na walimu bila kufundisha kwa moyo #MgomoWalimu
Pressconference: HakiElimu inatambua kuwa walimu wamekuwa na mgomo baridi kwa muda mrefu sasa #Mgomowalimu