Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: January 30, 2012 at 5:36 PM EAT
Tabata KIsukuru (Maji Chumvi)
Miundo mbinu
Vitu vyote vya ndani vimeenda na maji
Maisha yangu yamebadilika na mashaka yameongezeka na usalama umepungua sana
Vingi havifanyi kazi
Before flooding: 30Now: 80
Nyumba hii imeathiriwa na mafuriko
SEHEMU YA NYUMBA IKIWA IMEBOMOKA KUTOKANA NA MAFURIKO
Mwakilishi wa Envaya Ramadhani Mgaya akiwa anaangalia sehemu ya mafuriko na jinsi yalivyo athiri eneo la tabata kisukuru
Baadhi ya mabomba ya kiwa hayatoi maji baada ya mafuriko hakuna huduma ya maji
Mwakilishi wa Envaya Bwana Ramadhani Mgaya na wawakilishi wa asasi za kiraia wakiwa wanafanya mahojiano na wathirika wa mafuriko Tandale kwa mtogole
Mr Ezekiel NVRF akitaka kuvuka upande wa pili lakini alikosa sehemu ya kuvukia kwa sababu ya maji na matope mengi
Hili ni daraja linalo jengwa baada ya mafuriko kutokea katika eneo la Tandale kwa mtogole na linagharimu Tshs milioni 96 mpaka lilikamilika
Angalia chumba kikiwa kimeachwa wazi baada ya vitu vyake kubebwa na maji kipindi cha mafuriko
Bangaloo hili limebomolewa na maji
Sio mtu au wezi waliobomoa nyumba hii ni maji kipindi cha mafuriko
Nyumba hii itaanguka muda sio mrefu kwani ikokariu sana na mkondo wa maji
Baada ya mafuriko tabata maji hakuna na watu wameanza kuuza maji kama biashara
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mtogole akitoa maelezo ya maafa ya mafuriko kwa wawakilishi wa Envaya ambao wameagizwa kufuatilia swala hilo.
Hapa kulikuwa na barabara ya kupita magari lakini angalia hali ilivyo baada ya mafuriko
Nyumba hii imeathiriwa na mafuriko
Bado nyumba zingine zikiwa na maji yaliyo tuamama baada ya nafuriko
Mitaro mingi ikiwa imeshindwa kupeleka maji
Athari za mafuriko zimewafanya watu kukimbia nyumba zao kwa sababu ya kuhofia kurudi tena
Mzee akielezea jinsi mafuriko yalivyo athiri maisha yake ya kila siku
« Previous responseNext response »

« Back to report