Respondent: | Promotion of Education Link Organisation (PELO) |
---|---|
Time Submitted: | January 29, 2012 at 11:09 PM EAT |
Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
Vitu vyangu vingi sana vimechukuliwa na maji lakini kinachoniuma ni vifaa vya kusomea vya wanangu vilivyosombwa na maji huku wakitegemea kufanya mitihani ya taifa mwaka huu
B4)Nina watoto wawili ambao wanafanya mtihani mwaka huu.Mmoja yuko kidato cha sita na mwingine kaingia kidato cha nne.Wanalia sana wakidai vifaa vyao vya kusomea walivyotegea vingewasaidia kujiandaa na mtihani vimesombwa na maji.Wameathirika kisaikolojia.Sidhani kama watafanya vizuri katika mitihani yao. Na hata hela ya kuwapeleka tuisheni sina sasa.
Vyanzo vya maji haviwezi kukosa kuathiriwa katika mafuriko haya wala ubora wa maji.Isipokuwa sijafanya utafiti wa hali ya sasa na hali kabla ya mafuriko.
Before flooding: Dakika 45 | Now: saa 1 |
(No Response)
« Back to report